Kazi ya Afisi ya Kutathmini ni kukuza mafunzo kazini na kutoa idhibati ya matokeo yanayoweza kukidhi mashariti ya uwajibikaji.

Afisi ya Kutathmini hufanya tathmini na tafiti kuhusu uongozi kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa na Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Baraza la Utawala la Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa, na Kanuni na Viwango vya Kutumia Kutathmini vya mfumo wa Umoja wa Mataifa.

Tathmini hufanywa kwa njia huru na Afisi ya Kutathmini hutoa matokeo ya tathmini bila kuingiliwa. Ili kuifanya kutotegemea  Idara kubwa na programu ndogodogo zinawezesha kupata mafunzo kazini, Mkurugenzi wa Afisi ya Kutathmini hufanya kazi chini ya Mkurugenzi Mtendaji, na kwa kupitia kwa Mkurugenzi Mtendaji, kwa Mabaraza ya Uelekezi-Kamati ya Mabalozi wa Kudumu na Mkutano Mkuu wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa.

Afisi ya Kutathmini hufanya tathmini zao kuu, kama inavyopatikana katika Sera ya kutathmini, ni:

  • tathmini ya kiwango cha juu kuhusiana na mikakati na mada za mikakati ya kipindi kigodo, programu zake ndogondogo na programu za nchi;
  • tathmini ya utendaji kazi inayohusisha tathmini ya miradi na jinsi pesa zinavyotumika na tafiti zinginezo kwa manufaa ya uongozi; na
  • athari na waliovutiwa na tathmini.

Ripoti zote za tathmini za Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa zinawezwa kutafutwa kwenye kihifadhidata kilicho na tathmini ya miradi na ya matumizi ya fedha na pia ina tathmini mkakati wa kipindi, Ripoti Sanisi, na tathmini ya programu ndogondogo kama zilivyotolewa na Afisi ya Kutathmini.

Resources

Consult the full collection of our evaluation reports. Learn more

Frequently Asked Questions (FAQs)

We’ve compiled a list of the questions we get asked the most often. Learn more

Contact us

United Nations Avenue, Gigiri
PO Box 30552, 00100
Nairobi, Kenya
Tel: +254 20 762 3389

Email:chief.eou@unep.org