• Maelezo ya Jumla
  • Schedule

Mabadiliko ya tabianchi ni suala nyeti katika kipindi hihi tunachoishi. Sasa ndio wakata mwafaka wa kushughulikia suala hili. Bado kuna mda wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Lakini, tunahitaji juhudi nyingi kutoka katika sekta zote katika jamii. Ili kuimarisha juhudi na kuongeza kasi ili kutekeleza Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres atakuwa mwenyeji wa kikao cha Mkutano Mkuu wa wa Kushughulikia Mazingira tarehe 23 Septemba ili kukabiliana na changamoto za hali ya hewa. Mkutano huu utaonyesha jinsi ushirikiano kutoka kwa mataifa na wanasiasa ulivyoimarika na jinsi walivyotayari kuunga mkono ajenda iliopo huku wakikuza uchumi. Haya yote yatasaidia kuonyesha ushirikiano kati ya wafanyabiashara na wanasiasa ulivyo na manufaa kwa nchi, kampuni, miji na mashirika ya uraia. Na suala hili ni muhimu ili kuyafikia malengo ya Mkataba wa Paris na kuyafikia Malengo ya Maendeleo Endelevu.

21 Sep 2019

Time & Place
Event Details
10:30
New York
Youth Climate Summit The UN Youth Climate Summit is a platform for young leaders who are driving climate action to showcase their solutions at the United Nations, and to meaningfully engage with decision-makers on the defining issue of our time. This event will take place on Saturday, September 21 at the United Nations Headquarters in New York, as part of a weekend of events leading up to the UN Secretary-General’s Climate Action Summit on Monday, September 23.