Sayari tayari ilikuwa inaonyesha dalili za kulemewa na mzigo wa binadamu tangu mwaka wa 1972 wakati shirika lilipoanzishwa. Katika miongo iliyofuata, UNEP na wabia wake walishirikiana na Nchi Wanachama kukabiliana na uchafuzi wa hewa, kurejesha tabaka la ozoni, kutunza bahari duniani, kukuza uchumi jumuishi usiochafua mazingira, na kutoa tahadhari kuhusu uharibifu wa bayoanuai na mabadiliko ya tabianchi. Kazi hiyo haijawahi kukosa kuwa na umuhimu zaidi.

Is this the pull quote?
Yes
Pull Quote source name
António Guterres
Pull Quote source title
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa