Azimio hilo litasaidia kupunguza uasi kwa mazingira, kuziba mapengo ya ultunzajii na kuwawezesha watu hasa walio katika mazingira hatari wakiwemo watetezi wa haki za mazingira, watoto, vijana, wanawake na watu wa kiasili.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres

Tags
Image
SG Message on Nature Action
image credit color
white