• Maelezo ya Jumla

Mwaka huu, sherehe ya kuwatuza Mabingwa wa Dunia na Vijana Bingwa Duniani itafanyika wakati wa Kikao cha 74 katika wiki la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa tarehe 26 Septemba mwaka wa 2019 katika mji wa New York.