Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) hufanya kazi ili kutambulisha na kushughulikia masuala ibuka yanayoathiri mazingira. Ripoti ya UNEP ya Masuala Ibuka inaendeleza kazi hii kwa kutambulisha changamoto za mazingira na masuhuhisho yake ili kuzishughulikiwa kikamilimu kwa mda unaofaa. Baadhi ya masuala yanaweza kuhusu tu eneo, yanaweza kuwa madogomadogo kwa sasa, ila yana uwezekano wa kuenea maeneo mengine au kuathiri ulimwengu mzima yasiposhughulikiwa mapema.
Ni masuala yepi ibuka yanayoangaziwa kwenye toleo la mwaka wa 2022 la Ripoti ya Masuala Ibuka: Kelele, Mioto na Kutoingiliana?
Since 2016, UNEP’s Frontiers Reports have cast a spotlight on emerging environmental issues. This year’s edition, Noise, Blazes and Mismatches, looks at three concerns: urban soundscapes, wildfires and phenological shifts.
It’s easy to overlook noise pollution. But sounds like traffic, construction, and security alarms – collectively known as urban soundscapes – can cause long-term physical and mental health issues.
Wildfires are burning more severely and more often, urban noise pollution is growing into a global public health menace, and phenological mismatches