Showing 1 - 2 of 2
2 matokeo yaliyopatikana
Mabadiliko ya tabianchi ni suala nyeti katika kipindi hihi tunachoishi. Sasa ndio wakata mwafaka wa kushughulikia suala hili. Bado kuna mda wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Lakini, tunahitaji juhudi nyingi kutoka katika sekta zote katika jamii. Ili kuimarisha juhudi na kuongeza kasi ili kutekeleza Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa…
Wakati ambapo viongozi duniani wanapokusanyika mjini New York wakati wa kikao cha 74 cha Mkutano Mkuu wa UN, Masuala yanayohusiana na ajenda ya Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa yatapewa kipao mbele. Ni pamoja na kuonyesha jinsi serikali, mashirika ya uraia, na watu binafsi wanavyoweza kushughulikia mazingira, na kushiriki taarifa kuhusu Malengo ya Maendeleo Endelevu, na pia kuwatuza…
Showing 1 - 2 of 2