Showing 1 - 2 of 2
2 matokeo yaliyopatikana
Mwaka huu, sherehe ya kuwatuza Mabingwa wa Dunia na Vijana Bingwa Duniani itafanyika wakati wa Kikao cha 74 katika wiki la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa tarehe 26 Septemba mwaka wa 2019 katika mji wa New York.
Mabadiliko ya tabianchi ni suala nyeti katika kipindi hihi tunachoishi. Sasa ndio wakata mwafaka wa kushughulikia suala hili. Bado kuna mda wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Lakini, tunahitaji juhudi nyingi kutoka katika sekta zote katika jamii. Ili kuimarisha juhudi na kuongeza kasi ili kutekeleza Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa…
Showing 1 - 2 of 2