Showing 1 - 2 of 2
2 matokeo yaliyopatikana
Lini: Machi 3 - 4, 2022
Wapi: Nairobi, Kenya
Kikao cha tano cha Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa kilifuatiwa na kikao maalum kinachotambulika kana UNEP@50, kilichoendeshwa Machi 3 - 4, 2022, ili kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP). Kikao hicho maalum kiliendeshwa chini ya kaulimbiu ya "Kuimarisha UNEP ili kutekeleza…
Mwaka huu, sherehe ya kuwatuza Mabingwa wa Dunia na Vijana Bingwa Duniani itafanyika wakati wa Kikao cha 74 katika wiki la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa tarehe 26 Septemba mwaka wa 2019 katika mji wa New York.
Showing 1 - 2 of 2