Showing 1 - 2 of 2
2 matokeo yaliyopatikana
Lini: Novemba 18 - 24, 2022
Wapi: Kote duniani
Mashirika manne - Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO), Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP), Shirika la Afya Duniani (WHO), na Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (WOAH, lililoanzishwa kama OIE) wanafuraha kutangaza kaulimbiu ya Wiki ya Uhamasishaji kuhusu Antimikrobia Duniani (WAAW) Mwaka wa 2022…
Mwaka huu, sherehe ya kuwatuza Mabingwa wa Dunia na Vijana Bingwa Duniani itafanyika wakati wa Kikao cha 74 katika wiki la Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa tarehe 26 Septemba mwaka wa 2019 katika mji wa New York.
Showing 1 - 2 of 2