Showing 1 - 3 of 3
3 matokeo yaliyopatikana
Lini: Septemba 4-8 , 2023
Wapi: Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC), Nairobi, Kenya.
Usajili umefungwa.
Wiki ya Tabianchi barani Afrika (ACW) ni hafla ya kila mwaka ambayo huleta pamoja viongozi kutoka serikalini, mashirika ya biashara, mashirika ya kimataifa na mashirika ya uraia kutafuta njia za kupunguza uzalishaji wa gesi ya ukaa huku wakikabiliana na…
Lini: Alhamisi Februari 17 2022; 2:00pm EAT/12:00pm CET/6:00am EST
Wapi: Mtandaoni
Muda: Saa moja
Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) litazindua toleo la mwaka wa 2022 la Ripoti ya Masuala Ibuka: Masuala Ibuka Yanayoathiri Mazingira kwa mkutano na wanahabari mtandaoni tunapoelekea UNEA 5.2.
Ripoti ya UNEP ya Masuala Ibuka imetambulisha na kuangazia…
Familia na jamii zinaangamia, zinapoteza makao yao na vyanzo vyao vya kipato. Mara nyingi, hali hii hutokana na kiangazi, mafuriko ya ghafla na mioto misituni. Hizi athari ghasi kutokana na hali mbaya ya
hewa isiyoweza kutabirika, zinatokea mara kwa mara na kwa kiwango kikubwa katika sehemu nyingi ulimwenguni. Sasa, zaidi ya aina milioni ya viumbe viko karibu kuangamia kabisa. Hali hii…
Showing 1 - 3 of 3