Showing 1 - 2 of 2
2 matokeo yaliyopatikana
Lini: Novemba 18 - 24, 2022
Wapi: Kote duniani
Mashirika manne - Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO), Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP), Shirika la Afya Duniani (WHO), na Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (WOAH, lililoanzishwa kama OIE) wanafuraha kutangaza kaulimbiu ya Wiki ya Uhamasishaji kuhusu Antimikrobia Duniani (WAAW) Mwaka wa 2022…
Lini: Machi 3 - 4, 2022
Wapi: Nairobi, Kenya
Kikao cha tano cha Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa kilifuatiwa na kikao maalum kinachotambulika kana UNEP@50, kilichoendeshwa Machi 3 - 4, 2022, ili kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP). Kikao hicho maalum kiliendeshwa chini ya kaulimbiu ya "Kuimarisha UNEP ili kutekeleza…
Showing 1 - 2 of 2