Showing 1 - 8 of 8
8 matokeo yaliyopatikana
Lini: Agosti 14-18, 2023
Wapi: Hoteli ya Ethiopian Skylight, Barabara ya Uwanja wa Ndege, Addis Ababa, Ethiopia
Kaulimbiu: Kuchukua fursa na kuimarisha ushirikiano ili kukabiliana na changamoto za mazingira barani Afrika
Kikao cha kumi na tisa cha kawaida cha AMCEN kitafanyika kuanzia tarehe 14 hadi tarehe 18 Agosti mwaka wa 2023 katika Hoteli ya Ethiopian Skylight…
Lini: Novemba 18 - 24, 2022
Wapi: Kote duniani
Mashirika manne - Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo (FAO), Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP), Shirika la Afya Duniani (WHO), na Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (WOAH, lililoanzishwa kama OIE) wanafuraha kutangaza kaulimbiu ya Wiki ya Uhamasishaji kuhusu Antimikrobia Duniani (WAAW) Mwaka wa 2022…
Lini: Machi 3 - 4, 2022
Wapi: Nairobi, Kenya
Kikao cha tano cha Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa kilifuatiwa na kikao maalum kinachotambulika kana UNEP@50, kilichoendeshwa Machi 3 - 4, 2022, ili kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP). Kikao hicho maalum kiliendeshwa chini ya kaulimbiu ya "Kuimarisha UNEP ili kutekeleza…
Nini: Kikao cha tano cha Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa kitaimarisha juhudi za kushughulikia mazingira kweye muktadha wa maendeleo endelevu, na kutoa kipaumbele kwa utekelezaji wake kikamilifu. Kikao hiki cha tano cha Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa katika mwaka wa 2021 kitatumiwa kuhamasisha, kutia motisha na kutia moyo Nchi Wanachama na wadau kushiriki na kutekeleza mbinu…
Kila mwaka, Jukwaa la Kisiasa la Kiwango cha Juu kuhusu Maendeleo Endelevu (HLPF) la Umoja wa Mataifa hufanya mkutano ili kuendeleza ajenda ya Mifumo ya Umoja wa Mataifa inayohusu maendeleo endelevu. Huku COVID-19 ikiendelea kuhangaisha dunia, mkutano wa mwaka huu ni muhimu zaidi. Katika hali ya sintofahamu inayoendelea, HLPF inatoa fursa kwa serikali na mashirika ya uraia kuanza kujadiliana…
On 22 September, at least 34 CEOs from banks around the world will sign UNEP FI’s Principles for Responsible Banking – a major initiative that we have been working on which is expected to be signed by up to 100 banks by September. Citibank has just endorsed the Principles. The launch event will take place at UN Headquarters and Inger Andersen and the Secretary General will be present, along…
Mabadiliko ya tabianchi ni suala nyeti katika kipindi hihi tunachoishi. Sasa ndio wakata mwafaka wa kushughulikia suala hili. Bado kuna mda wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Lakini, tunahitaji juhudi nyingi kutoka katika sekta zote katika jamii. Ili kuimarisha juhudi na kuongeza kasi ili kutekeleza Mkataba wa Paris kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa…
Wakati ambapo viongozi duniani wanapokusanyika mjini New York wakati wa kikao cha 74 cha Mkutano Mkuu wa UN, Masuala yanayohusiana na ajenda ya Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa yatapewa kipao mbele. Ni pamoja na kuonyesha jinsi serikali, mashirika ya uraia, na watu binafsi wanavyoweza kushughulikia mazingira, na kushiriki taarifa kuhusu Malengo ya Maendeleo Endelevu, na pia kuwatuza…
Showing 1 - 8 of 8