Showing 1 - 3 of 3
3 matokeo yaliyopatikana
Lini: Septemba 4-8 , 2023
Wapi: Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC), Nairobi, Kenya.
Usajili umefungwa.
Wiki ya Tabianchi barani Afrika (ACW) ni hafla ya kila mwaka ambayo huleta pamoja viongozi kutoka serikalini, mashirika ya biashara, mashirika ya kimataifa na mashirika ya uraia kutafuta njia za kupunguza uzalishaji wa gesi ya ukaa huku wakikabiliana na…
Lini: Agosti 14-18, 2023
Wapi: Hoteli ya Ethiopian Skylight, Barabara ya Uwanja wa Ndege, Addis Ababa, Ethiopia
Kaulimbiu: Kuchukua fursa na kuimarisha ushirikiano ili kukabiliana na changamoto za mazingira barani Afrika
Kikao cha kumi na tisa cha kawaida cha AMCEN kitafanyika kuanzia tarehe 14 hadi tarehe 18 Agosti mwaka wa 2023 katika Hoteli ya Ethiopian Skylight…
Lini: Machi 3 - 4, 2022
Wapi: Nairobi, Kenya
Kikao cha tano cha Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa kilifuatiwa na kikao maalum kinachotambulika kana UNEP@50, kilichoendeshwa Machi 3 - 4, 2022, ili kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP). Kikao hicho maalum kiliendeshwa chini ya kaulimbiu ya "Kuimarisha UNEP ili kutekeleza…
Showing 1 - 3 of 3